Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mkundi, Morogoro (700 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
5
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
900m — Morogoro/Dodoma Road
Maelezo
NYUMBA YA KISASA,VYUMBA 4,TZS.75 MILIONI,MKUNDI MOROGORO.
Nyumba ipo umbali wa mita 900 kutoka Barabara ya Morogoro/Dodoma.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.700.
KINA OFA.
Vyumba 4 vya kulala (Kila kimoja Choo ndani)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
INAHITAJI UMALIZIAJI MDOGO.
●Umeme upo
●Tiles tayari
●Ceiling tayari
●Fence tayari.
NASEMA WAHI UJITWALIE HII.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________mpg








