Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mkwambe Fani City, Kigamboni, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI MKWAMBE FANI CITY β BEI YA KITONGA SANA!
Je, unatafuta nyumba ya kuhamia moja kwa moja au kufanya uwekezaji wenye faida? Hii ni fursa adhimu usiyoipaswa kuikosa.
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 4 (Kimoja Master)
β
Sebule kubwa na ya kisasa
β
Jikoni kizuri
β
Fensi imara kuzunguka eneo lote
β
Mazingira salama na tulivu kwa familia
β
Ukubwa wa kiwanja: SQM 400
π Mahali: Mkwambe Fani City, Kigamboni
βοΈ Km 1 kutoka barabara ya lami
βοΈ Bodaboda ni Sh 1,500 tu kutoka barabara kuu hadi nyumbani
βοΈ Km 12 kutoka Ferry
βοΈ Km 10 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: Milioni 45 tu
π€ Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
π Wasiliana Nasi: 0769 554 221
Karibu sana kuona nyumba hii nzuri yenye bei nafuu na mazingira bora ya makazi au uwekezaji. π‘πβ¨
#trendingvideo #istagram #realestateforsale #tanzaniaπΉπΏ #trendingsong















