Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mwera Misufini, Tanga
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β MWERA MISUFINI, ZANZIBAR π
Tunauza nyumba nzuri na kubwa iliyopo Mwera Misufini, katika eneo tulivu, lenye mitaa mizuri na nyumba zilizojengwa kwa mpangilio mzuri.
β¨ NYUMBA INA:
ποΈ Vyumba 4, ambapo 2 ni Master Bedrooms
π Vyumba vya nje takribani 2 β kimoja tayari kimejengwa
π Sehemu ya kuswalia
π¦ Stoo ya nje
π’ Sehemu inayoweza kutumika kama kiofisi
π§ Maji ya kisima ndani ya nyumba
βοΈ Solar power backup β umeme unapokatika, mfumo wa solar huanza kufanya kazi
πͺ Geti la sliding linalotumia remote control
π‘οΈ Electric fence juu ya ukuta kwa ajili ya usalama
π Parking kubwa β zinaweza kuingia takribani gari 7β8
π LOCATION
Nyumba ipo Mwera Misufini, takribani dakika 2 tu kutoka barabara ya lami.
Eneo ni tulivu, limepangwa vizuri na linafaa sana kwa makazi ya familia. Pia ni sehemu nzuri kwa mtu anayefikiria kufanya biashara au uwekezaji.
π° BEI: TSH MILIONI 160
π€ Mazungumzo yapo kwa mteja serious.
π₯ Nyumba yenye nafasi, usalama, parking kubwa na mfumo wa solar β fursa nzuri kwa familia au mwekezaji!
π Kwa maelezo zaidi:
+255776109092
+255686230110
π² Karibu uione nyumba mwenyewe!






