Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Pugu Kajiungeni, Dar Es Salaam (1000 sqm)

video thumbnail
Sh. 80,000,000

Huduma na Sifa

Uzio
Karibu na Barabara ya Lami
Dining
Jiko
Stoo
Sebule

Maelezo

NYUMBA YA VYUMBA 4,TSHS.80 MILIONI TU, PUGU KAJIUNGENI.

Ni nyumba kubwa inayojitegemea lakini pia yenye banda la Chumba kimoja na Sebule pembeni.

Vyumba 4 (Masta 1),
Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.1,000.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Ndani ya Fensi na jirani na Barabara ya Lami.
Mtaa ni tulivu na umejengeka vizuri.

___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548
___________tP

Matangazo mengine Pugu, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Pugu, Dar Es Salaam

Sh. 70,000,000

For Sale3 beds4 bathshouse
Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Pugu Kinyamwezi, Dar Es Salaam (4200 sqm)

Sh. 250,000,000

For Sale8 beds8 baths4,200 sqmhouse