Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Sinza Kwa Remmy, Dar Es Salaam (340 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 360,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Bafu

1

Ukubwa

340 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Tiles
Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Barabara

Maelezo

Nyumba Ya Kuhamia Inauzwa
Mahali: Sinza Kwa Remmy

Bei: Milioni 360

☑️Ukubwa: Sqm340
☑️Sifa: Nyumba Kubwa Ina Vyumba 4, Kimoja Master Sebule Kubwa Dining, Jiko & Choo
☑️Umiliki: Hati Imenyooka
☑️Umbali: Karibu Sana Na Lami Na Mitaa Mipana Imenyooka
☑️Unapiga Deki Na Kuhamia.

Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate.

Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea)

Call & Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988, 0622651649, 0650659988

Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏

#MasterRealEstate #MasterMijengo #DalaliMasterTz #WhereLuxuryMeetsLifestyle