Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata Kisukuru, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
1500 SQM
Barabara ya Karibu
0.5km
Huduma na Sifa
Maelezo
GHOROFA YAKUMALIZIA, TZS.200 MILI8NI, TABATA-KISUKURU.
Hapa ni KISUKURU MWISHO,
Umbali wa 0.5km tu kutoka Barabara ya Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,500
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba ni nzuri ya kisasa na yenye Hadhi.
Vyumba 4 *Vyumba 2 Vyoo ndani)
Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tzs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu is
________________jj















