Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata Sanene, Dar Es Salaam (800 sqm)


Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 260,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
2
Ukubwa
800 SQM
Huduma na Sifa
Hati
AirBnb
Umeme
Feni
Fence ya Umeme
Karibu na Stendi ya Mabasi
Maelezo
Nyumba nzuri sana inauzwa bei ya sh milion 260. Ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 800. Hii nyumba ina vyumba 4 vya kulala vyumba 2 master bedrooms. Sebule zipo 2 kubwa. Dining zipo 2 kubwa. Jiko zuri. Store. Public toilet zipo 2. Full document yani hati miliki ya wizara ya aridhi hipo. Full air-condition na fan kila chumba @. Electric fence. jiko la nje pia lipo pia. Kutoka kituoni dakika 2 hadi 4 hivi. N.k. Hii nyumba ipo maeneo ya tabata sanene dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 50000
