Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata Sanene, Dar Es Salaam (800 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 260,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Bafu

2

Ukubwa

800 SQM

Huduma na Sifa

AirBnb
Umeme
Uzio
Fence ya Umeme
Feni
Hati

Maelezo

Nyumba nzuri sana inauzwa bei ya sh milion 260. Ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 800. Hii nyumba ina vyumba 4 vya kulala vyumba 2 master bedrooms. Sebule zipo 2 kubwa. Dining zipo 2 kubwa. Jiko zuri. Store. Public toilet zipo 2. Full document yani hati miliki ya wizara ya aridhi hipo. Full air-condition na fan kila chumba @. Electric fence. jiko la nje pia lipo pia. Kutoka kituoni dakika 2 hadi 4 hivi. N.k. Hii nyumba ipo maeneo ya tabata sanene dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 50000