Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Vikindu Magogo – Mtaa wa Kamigele, Pwani

video thumbnail
Sh. 37,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Huduma na Sifa

Public Toilet
Dining
Sebule

Maelezo

🏠 NYUMBA INAUZWA – VIKINDU MAGOGO (KAMIGELE)

Nyumba inapatikana Vikindu, eneo la Magogo – Mtaa wa Kamigele, karibu na Dar es Salaam.

💰 Bei: TZS Milioni 37 (Maongezi yapo)
🔥 Inatupwa kwa hasara kwa muuzaji – Faida kwa mnunuzi!

Sifa za Nyumba:

✔️ Vyumba 4 vya kulala (1 Master Bedroom)
✔️ Sitting Room
✔️ Dining Room
✔️ Public Toilet
✔️ Jiko

📍 Eneo tulivu na linaendelea kukua kwa kasi – fursa nzuri ya uwekezaji au makazi.

📞 Kwa maelekezo zaidi piga simu au WhatsApp: 0683 665504

Njoo uone mwenyewe – ukifika site utaipenda!