Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Vikindu Magogo – Mtaa wa Kamigele, Pwani

Vikindu, Mkuranga, Pwani
3 days ago
Sh. 37,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Huduma na Sifa
Public Toilet
Dining
Sebule
Maelezo
🏠 NYUMBA INAUZWA – VIKINDU MAGOGO (KAMIGELE)
Nyumba inapatikana Vikindu, eneo la Magogo – Mtaa wa Kamigele, karibu na Dar es Salaam.
💰 Bei: TZS Milioni 37 (Maongezi yapo)
🔥 Inatupwa kwa hasara kwa muuzaji – Faida kwa mnunuzi!
Sifa za Nyumba:
✔️ Vyumba 4 vya kulala (1 Master Bedroom)
✔️ Sitting Room
✔️ Dining Room
✔️ Public Toilet
✔️ Jiko
📍 Eneo tulivu na linaendelea kukua kwa kasi – fursa nzuri ya uwekezaji au makazi.
📞 Kwa maelekezo zaidi piga simu au WhatsApp: 0683 665504
Njoo uone mwenyewe – ukifika site utaipenda!
