Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Goba Center, Dar Es Salaam (1200 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
600m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA β GOBA, DAR ES SALAAM π‘
Usikose fursa ya kumiliki nyumba nzuri, ya kisasa na yenye nyaraka halali katika eneo la Goba.
β¨ Sifa za Nyumba:
ποΈ Vyumba 5 vya kulala, vyote Master Bedroom
ποΈ Sebule kubwa na yenye mwonekano wa kisasa
π½οΈ Sehemu maalum ya kulia chakula (Dining)
π¨βπ³ Jiko la kisasa lenye makabati ya kuhifadhia vifaa
π» Choo cha wageni (Public Toilet)
βοΈ Air Condition (A/C)
π‘ Fensi ya kuzunguka nyumba kwa usalama
π£οΈ Eneo la ndani limewekewa Paving Blocks
π³ Bustani nzuri yenye mazingira ya kuvutia
π Mahali: Goba Center , Dar es Salaam
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1200
π£οΈ Umbali wa takribani Mita 600 kutoka barabara ya Lami
π Hati halali kutoka Wizarani
π° Bei: TSh Milioni 750 (mazungumzo yapo kidogo)
π² Piga simu au WhatsApp: 0765 989 724
Fanya uamuzi leo! Nyumba bora huuzwa haraka. Karibu kuja kuiona na ujiridhishe mwenyewe.















