Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Goba Kulangwa, Dar Es Salaam (1700 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
1700 SQM
Barabara ya Karibu
1km β Goba Road
Huduma na Sifa
Maelezo
π₯ NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA KWA BEI YA HASARA β GOBA KULANGWA! π₯
Mtu amekwama na anahitaji fedha ya haraka sana! Hii sio biashara ya kusubiri kesho, ni ya kumaliza leo hapa hapa! ππ¨
π SIFA ZA NYUMBA:
* Eneo: Goba Kulangwa (Kilometa 1 tu kutoka barabara kuu ya Goba).
* Aina: Nyumba mpya ya ghorofa moja (Finishings za ndani zimekamilika, imeshapigwa rangi na ina baadhi ya vitanda tayari).
* Hali ya Umiliki: INA HATI MILIKI (TITLE DEED).
* Vyumba: Vyumba 5 vya kulala (Juu vipo 3, Chini vipo 2) β Vyote ni Master Bedrooms!
* Ukubwa wa Uwanja: SQM 1,700.
* Mazingira: Ipo kwenye mtaa uliojengeka kisasa kabisa, umezungukwa na maghorofa ya kifahari.
* Hali: Nyumba ni mpya, imebaki kumalizia vitu vidogo sana vya nje.
π° BEI: TSh Milioni 900 (Mazungumzo yapo mezani)
π ANGALIZO: Nyumba hii haitakaa sokoni! Anayewahi ndiye anayechukua.
π WASILIANA NAMI:
Piga simu sasa hivi kupitia namba zilizopo kwenye BIO yangu tukaitazame na kumaliza biashara!















