Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 150,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

5

Maelezo

*NYUMBA INAUZWA – TSH MILIONI 150 (Maongezi kidogo)*

MBEZI MALAMBA KWEMBE

KILOMITA 2 TU KUTOKA BARABARA YA RAMI

*MAELEZO YA ENEO:*
- Ukubwa wa kiwanja: sqm 2000
- Eneo lote limezungushiwa uzio (fence)

*NYUMBA KUU:*
- Vyumba 5 vya kulala (kimoja ni master)
- Nyumba ni kubwa na inafaa kwa familia

*MIUNDO MBINU YA ZIADA:*
- *Servant Quarters (Nyumba za watumishi):*
- Moja ina chumba na jiko
- Nyingine ina chumba kimoja
- *Ghala (Warehouse):*
- Lina ofisi ndani
- Bado halijapaua tu, msingi na kuta tayari

*NB:* Inafaa kwa makazi au uwekezaji wa biashara.
Wasiliana kwa maelezo zaidi au kuona site.

0746 433 854