Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mbweni Ubungo, Dar Es Salaam (800 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba kali sana inauzwa
Iko-Dar es salaam tz
Mahali-Mbweni Ubungo
Bei Tshs Billion 1.2 Tu
Ukubwa wa eneo square metres 800
Umiliki-Hati miliki safi kutoka wizara ya ardhi
Nyumba nzuri ya kisasa
Kubwa ya kifamilia
Ina vyumba vitano vya kulala [Vyote masta]
Full air-condition
Full makabati jikoni
Full makabati vyumbani
Heater maji moto
Kuna servant quarter
Pia kuna chumba cha mlinzi getini [Security]
Electric fence
FencedHouse
Wahi ndugu mteja wangu uje ujipatie nyumba kali ya ndoto yako
Kwenda kuona 50k
Hii itatumika hadi utakapopata nyumba ya ndoto yako
Kwa maelezo zaidi
Nione @dalalimbezibeach_pacha
Call/WhatsApp
📲. DALALI MKENYA TZ 🇹🇿🇹🇿.
Pia viwanja safi vya kununua vinapatikana...karibu sana















