Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 320,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

5

Ukubwa

400 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Maji
CCTV
Fence ya Umeme
Dining
Jiko

Maelezo

🏢✨ NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA – TABATA BONYOKWA DAR ES SALAAM ✨🏢

💰 BEI: Milioni 320 (Maongezi yapo – leta offer yako tuzungumze)
📐 Ukubwa wa eneo: SQM 400
📜 Umiliki: Hati Miliki

🏡 SIFA ZA NYUMBA:

✅ Vyumba 5 vya kulala (2 Master)
✅ Sebule + Dining room
✅ Jiko la ndani
✅ Public Toilet
✅ Kisima cha maji
✅ CCTV Camera
✅ Electric wired fence

Nyumba hii ni chaguo bora kwa makazi ya kifahari au uwekezaji wa biashara.

📲 PIGA AU WHATSAPP: +255 688 412 890