Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Tabata Sanene, Dar Es Salaam (800 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡✨ NYUMBA NZURI YA GHOLOFA MPYA INAUZWA TABATA SANENE DAR ES SALAAM TANZANIA 🇹🇿 ✨🏡
Unatafuta sehemu nzuri ya kujenga makazi yako au kufanya uwekezaji wa apartments? Hiki hapa! 👇
Nyumba ina Vyumba 5Vya Kulala
📍5 Master bedrooms
📍4 Master bedrooms
📍Sebule kubwa 1
📍Sebule 2
📍Dinning room
📍Jiko safi
📍Stoo
📍Public toilets 1
📍Public toilets
📍Room play
Location:TABATA SANENE
📐 Sqm 800
✅Unaweza kuishi mwenyewe au ukaifanya biashara panalipa sana location yake
✅Neighborhood nzuri sana
💰 BEI NI 230 million Tu
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji wa uhakika! 🔥
📞 Muhitaji piga: 0711258592
#Tabata #KiwanjaKinauzwa #DarEsSalaam #RealEstateTanzania dalaliyohanakinyereziApartments Uwekezaji Kiwanja TabataKinyerezi Nyumba LandForSale TanzaniaRealEstate















