Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kinyerezi Mongolandege, Dar Es Salaam

Kinyerezi, Ilala, Dar Es Salaam
23 days ago
Sh. 750,000 per month
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Huduma na Sifa
Air Conditioning
Maji
Kisima
Fence ya Umeme
Heater
Inajitegemea
Maelezo
π’ NYUMBA YA KUPANGISHA β KINYEREZI MONGOLANDEGE π‘
Nyumba nzuri ya kisasa standalone inapangishwa kwenye eneo tulivu na salama.
β¨ Sifa za nyumba:
β’ Vyumba 3 (kimoja ni master)
β’ Sebule kubwa na ya kisasa
β’ Jiko lenye makabati ya juu na chini
β’ Water heater
β’ Full AC nyumba nzima
β’ Electric fence kwa usalama
β’ Maji ya uhakika (DAWASA) + kisima cha ziada
π Location: Kinyerezi Mongolandege, mtaa mzuri na unaofikika kirahisi
π° Kodi: 750,000/= kwa mwezi
π Malipo: Miezi 6
π Security deposit: 750,000/=
π§Ύ Service charge: 20,000/=
π Wasiliana: +255672551706. 0684275427/wasap/call
π Karibu sana ndugu mteja, nyumba ni bora kwa familia. Simple and clean.
