Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Buigiri Madukani, Dodoma

video thumbnail
Sh. 235,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Huduma na Sifa

Tiles
Makabati
Jiko
Jiko la nje
Chumba cha kulala cha nje
Boma limekamilika hatua ya ukuta

Maelezo

🏠 NYUMBA ZINAUZWA – CHAMWINO IKULU, DODOMA

📍 Buigiri Madukani, jirani na Majengo ya Ikulu / karibu na Mtumba

Zinauzwa nyumba 2 pamoja na boma 1 eneo moja:

1) Nyumba ya Kwanza

✅ Ina uwezo wa kukaa familia 7
✅ Mpangilio wa chumba + sebure

2) Nyumba ya Pili

✅ Ina vyumba 3 vya kulala
✅ Ina sebure
✅ Nje kuna jiko
✅ Pia kuna chumba 1 cha kulala cha nje

3) Boma

✅ Limekamilika hatua ya ukuta
✅ Limebaki kupaua tu
✅ Lina milango 7 ya kuingia
✅ Kila mlango una: sebure + jiko + master bedroom

💰 Bei: Tsh 235,000,000 (Milioni 235)

🔥 CHA KUWAHI SANA!

📞 0622 003 172
📲 Instagram: dalali_dodoma_professor