Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Bunju A, Dar Es Salaam (850 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
850 SQM
Barabara ya Karibu
800m
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA NZURI INAUZWA (MIL 200) BUNJU "A" SHULE
Mawasiliano: 0782117054-0718802350
Ina Vyumba Vitatu Kimoja Master,Dinning,Sitting,Kitchen&Public Toilet
Pia kuna Frem Nne Za Biashara Zote Zina Wapangaji
Umiliki: Mkataba Wa Mauziano (Eneo Limerasimishwa Tayari Hati Inatoka Kwa Jina La Mnunuzi)
Ukubwa Wa Eneo: SQM 850
Umbali: Meter 800 Kutoka Barabara kuu Ya Lami
Bei : 200 Million (Maongezi Yapo)
Gharama Za Kwenda Site Ni Tshs 40,000 /=
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#tanzania #realestate #realestatetanzania #daressalaam #fpyシviralfypシ゚viralシalシ















