Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Bunju Tba, Dar Es Salaam (1500 sqm)

video thumbnail
Sh. 180,000,000

Aina

Nyumba

House for sale in Bunju

Vyumba

3

3 bedroom House for sale in Bunju

Ukubwa

1500 SQM

Barabara ya Karibu

2km — Bagamoyo Road

Maelezo

PAGALE LA VYUMBA 3, TZS.180 MILIONI, BUNJU-TBA.

Ni umbali wa kilomita 2 kutoka Barabara ya Bagamoyo.
Na kilomita 32 kutoka KATIKATI YA MJI.

Ni jirani na Kliniki ya HAEMEDA.

Pagale ni-la vyumba 3 vya kulala (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,500.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

_________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_________________zw

Matangazo mengine Bunju, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Bunju A, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 130,000,000

For Sale3 beds2 baths400 sqmhouse