Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chanika Kwa Singa, Dar Es Salaam (450 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA CHANIKA KWA SINGA — MILIONI 42/= (MAONGEZI) 🔥
Unatafuta nyumba yenye eneo kubwa, hati na kisima cha maji? Hii hapa! 👇
✨ SIFA ZA NYUMBA:
🛏️ Vyumba 3 — kimoja Master
🛋️ Sebule
🍽️ Dining Room
🍳 Jiko
🚽 Public Toilet
📐 Eneo SQM 450
💧 Kisima cha maji
⚡ Umeme upo
📜 Ina HATI
💰 BEI: MILIONI 42/= — MAONGEZI
🔥 Nyumba yenye nafasi kubwa na nyaraka tayari.
Njoo uione na uzungumze na mwenyewe kabla haijachukuliwa!
📞 Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi.
#NyumbaInauzwa #Chanika #KwaSinga #DarEsSalaam #NyumbaZaKuuzwa















