Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Gezaulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA INAUZWA ā KIGAMBONI, GEZAULOLE š”
Fursa nzuri ya kupata nyumba ya kuhamia mara moja katika eneo tulivu na linalokua kwa kasi la Kigamboni!
ā
Vyumba 3 vya kulala (vyumba 2 ni Master)
ā
Ukubwa wa Kiwanja: SQM 800
ā
Hati ya Wizara
ā
Tayari kwa kuhamia mara moja
š Faida za Eneo:
* Kilomita 1 kutoka barabara kuu ya lami
* Kilomita 10 kutoka Feri
* Kilomita 12 kutoka Daraja la Nyerere
š° Bei: Milioni 180
š Mawasiliano: O719969102















