Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Gezaulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

video thumbnail
Sh. 180,000,000

Maelezo

šŸ” NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, GEZAULOLE šŸ”

Fursa nzuri ya kupata nyumba ya kuhamia mara moja katika eneo tulivu na linalokua kwa kasi la Kigamboni!

āœ… Vyumba 3 vya kulala (vyumba 2 ni Master)
āœ… Ukubwa wa Kiwanja: SQM 800
āœ… Hati ya Wizara
āœ… Tayari kwa kuhamia mara moja

šŸ“ Faida za Eneo:

* Kilomita 1 kutoka barabara kuu ya lami
* Kilomita 10 kutoka Feri
* Kilomita 12 kutoka Daraja la Nyerere

šŸ’° Bei: Milioni 180

šŸ“ž Mawasiliano: O719969102

Matangazo mengine Gezaulole, Dar es Salaam

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Gezaulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 800,000,000

For Sale5 beds0 baths800 sqmhouse