Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba Lastanza, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba mpya ya kisasa inauzwa
Iipo 📍 Dar es salaam. Ubungo. GOBA LASTANZA
▪︎ Karibu na barabara ya Mbezi Beach Masana
▪︎ Inafikika vizuri sana, barabara ya gari MKEKA
▪︎ Ina vyumba vitatu (3) vikubwa, vyote ni MASTA.
▪︎ Ina SERVANT QUARTER na Garden
▪︎ Ipo sehemu nzuri sana, mtaa mzuri na salama.
Eneo SQM 600
BEI: TZS 380 Million (Maongezi yapo)
Full Documents: HATI SAFI ✅️
Tupigie: 0767 891 406 // 0785 682 800
#luganoorealestateagency















