Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba Njia Ya Makongo, Dar Es Salaam (500 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
✨Nyumba nzuri sana mpya inauzwa Ina vyumba vitatu vyote ni masterbedrooms vina makabati yanguo , sebule kubwa, dinning na jiko lakisasa Lina makabati mazuri sana full Ac & heater<br/><br/>✨Ina boycotta kubwa ya mfanyakazi au wageni<br/><br/>✨Documents: Ina hati miliki <br/><br/>✨Ukubwa sqmt 500<br/><br/>✨Location: Goba njia ya makongo<br/><br/>✨Bei million 400<br/><br/>🙏🏽karibu sana boss wangu fanya kazi na madalali tuonaotambulika kisheria hepuka matapeli , ofisi zetu zinapatikana nyuma ya Skycity mall<br/><br/>🙏🏽kwa mawasiliano zaidi tupigie:0695511662















