Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba Njia Ya Makongo, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 400,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Bafu

1

Ukubwa

500 SQM

Huduma na Sifa

Umeme
Parking Space
Uzio
Fence ya Umeme
Boykota Chumba Master
Security

Maelezo

Nyumba Mpya Kali Sana Inauzwa
Mahali: Goba Njia Ya Makongo

Bei: Milioni 400

☑️Ukubwa: Sqm500
☑️Sifa:- Nyumba Kubwa: Vyumba 3 Kimoja Master Sebule, Jiko & Choo
ina Boykota Chumba Master
☑️Fensi Ya Umeme, Parking, Security, Garden
☑️Majirani Wapo Safi Sana
☑️Unanunua Na Kuhamia

Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate.

Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea)

Call & Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988, 0622651649, 0650659988

Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏

#MasterRealEstate #MasterMijengo #DalaliMasterTz #whereluxurymeetslifestyle