Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada Chekechea, Dar Es Salaam (700 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
4
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA CHEKECHEA
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi, linalofaa kwa makazi na uwekezaji.
📍 Mahali: Kigamboni – Kibada Chekechea
📍Documents:Sales Agreement
✨ Sifa za Nyumba:
* Vyumba 3, vyote Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko
* Eneo la SQM 700
* Nyumba ipo hatua ya kumalizia (unfinished)
* Choo cha nje kimekamilika
💰 Bei: TSh Milioni 55 (Mazungumzo kidogo yapo.)
📍 Umbali:
* Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
* Kilomita 9 kutoka Ferry
* Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere
📞
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















