Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada, Kigamboni, Dar Es Salaam (700 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI, KIBADA π‘
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni β Kibada. Nyumba ipo katika hatua ya finishing, hivyo unaweza kuikamilisha kwa mtindo unaoupenda.
β
Vyumba 3 (Vyumba 2 ni Master)
β
Sebule kubwa
β
Jiko
β
Ukubwa wa kiwanja: 700 Sqm
β
Hati ya Wilaya
π° Bei: TZS Milioni 68 (Maongezi yapo)
π Umbali:
β’ Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
β’ Kilomita 7 kutoka Feri ya Kigamboni
β’ Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere
π Inafaa kwa makazi na uwekezaji kutokana na eneo lake lenye maendeleo ya haraka.
π 0769554221
#trendingvideo #realestateagents #istagram #tanzania #trendingnow















