Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada Mwela, Dar Es Salaam (600 sqm)

Sh. 120,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI KIBADA MWELA

Fursa nzuri ya kupata nyumba tayari kwa kuhamia au kwa uwekezaji!

✨ Sifa za Nyumba:

β€’ Vyumba 3 vya kulala
β€’ Chumba 1 Master
β€’ Sebule kubwa
β€’ Dining
β€’ Jiko

πŸ“ Ukubwa wa Eneo: Square Meter 600

πŸ“„ Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa

πŸ’° Bei: TSh Milioni 120 (Mazungumzo kidogo yapo.)

πŸ“ Mahali:

β€’ Kilomita 3 kutoka Kibada Stand
β€’ Kilomita 12 kutoka Ferry
β€’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere

βœ… Nyumba ipo katika mazingira mazuri na imetunzwa vizuri.
βœ… Haina hitaji la marekebisho yoyote – ni ya kuhamia moja kwa moja.
βœ… Inafaa kwa makazi binafsi au kama uwekezaji wa kupangisha kutokana na eneo lake lenye ukuaji mzuri.

πŸ“Service Charge 30,000
πŸ“ž0769554221

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kibada, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1400 sqm)

Sh. 132,000,000

For Sale4 beds1,400 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1300 sqm)

Sh. 500,000,000

For Sale4 beds1,300 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (900 sqm)

Sh. 67,000,000

For Sale3 beds1 bath900 sqmhouse