Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada Mwela, Dar Es Salaam (600 sqm)

video thumbnail
Sh. 120,000,000

Maelezo

🏡 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI KIBADA MWELA

Fursa nzuri ya kupata nyumba tayari kwa kuhamia au kwa uwekezaji!

✨ Sifa za Nyumba:

• Vyumba 3 vya kulala
• Chumba 1 Master
• Sebule kubwa
• Dining
• Jiko

📐 Ukubwa wa Eneo: Square Meter 600

📄 Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa

💰 Bei: TSh Milioni 120 (Mazungumzo kidogo yapo.)

📍 Mahali:

• Kilomita 3 kutoka Kibada Stand
• Kilomita 12 kutoka Ferry
• Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere

✅ Nyumba ipo katika mazingira mazuri na imetunzwa vizuri.
✅ Haina hitaji la marekebisho yoyote – ni ya kuhamia moja kwa moja.
✅ Inafaa kwa makazi binafsi au kama uwekezaji wa kupangisha kutokana na eneo lake lenye ukuaji mzuri.

📍Service Charge 30,000
📞0769554221

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kibada, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1100 sqm)

Sh. 850,000,000

For Sale4 beds1,100 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 850,000,000

For Sale4 beds1,200 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 170,000,000

For Sale4 beds3 baths800 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (300 sqm)

Sh. 49,000,000

For Sale3 beds0 baths300 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 170,000,000

For Sale4 beds3 baths800 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1100 sqm)

Sh. 850,000,000

For Sale4 beds4 baths1,100 sqmhouse