Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kongowe, Pwani

Maelezo
NYUMBA YENYE FREMU TATU INAUZWA KIBAHA KONGOWE TSH MILIONI 23 TU.
==========
π»Ina vyumba vitatu vya kulala, Kimoja ni Master
π»Sebule
π»Jiko
π» Public toilet
π»Ina Fremu tatu kwa mbele
__________________
π° BEI MILIONI 23 tu
==========
βοΈ Ipo kwenye barabara ya mtaa
π Maji na Umeme vipo
βοΈ Ina ukuta pande mbili
βοΈ Sebuleni ina Gympsum & Tiles
πͺ Kiwanja chake kina 10*30 (sqmt 300)
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















