Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani (1000 sqm)

Maelezo
NYUMBA NZURI SANA YENYE MABANDA YA KUFUGIA NA ENEO KUBWA SANA SQM 1000 INAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS TSH 85M.
==========
π»Ina vyumba vitatu vya kulala, chumba kimoja ni Master
π»Sebule kubwa
π» Dinning Room
π»Jiko
π» Public toilet
==========
βοΈ Kwa pembeni kuna nyumba nyingine ya vyumba viwili vya kulala na public toilet.
βοΈ Ina mabanda ya kufugia kuku
βοΈ Ipo ndani ya fence na ina eneo kubwa sana
βοΈ Ipo kwenye barabara ya mtaa
==========
βοΈ Kiwanja chake ni kikubwa sana Sqmt 1000
_____________________
π° BEI MILIONI 85 tu
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















