Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha (Kwa Mathias), Pwani (1863 sqm)

Kibaha, Kibaha CBD, Pwani
3 hours ago
Sh. 165,000,000 per month
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
1863 SQM
Barabara ya Karibu
2.5km — Morogoro road
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Hati
airCondition
Uzio
Karibu na Shule
Karibu na Kanisa
Karibu na Msikiti
Maelezo
NYUMBA INAUZWA KIBAHA (Kwa Mathias) 2.5 kilometers kutoka Morogoro road.
165 millions mazungumzo yapo
Ukubwa wa kiwanja: Square meters 1863
Umiliki: Hati miliki kutoka Wizarani (Title Deed)
Muundo wa Nyumba:
✅️Vyumba vitatu vikubwa (vyote ni master bedrooms)
✅️ Sebule kubwa
✅️ Dining Room
✅️ Jiko kubwa
✅️ Choo cha familia
✅️ Air Condition (sebule & chumba kimoja)
✅️ Ipo ndani ya fensi
💳 Malipo ya awamu 2 yanakubalika
🛣️ Huduma zote za kijamii zipo jirani
0714733355 nipigie/WhatsApp
