Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha (Kwa Mathias), Pwani (1863 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
1863 SQM
Barabara ya Karibu
2.5km — Morogoro road
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA KIBAHA (Kwa Mathias) 2.5 kilometers kutoka Morogoro road.
165 millions mazungumzo yapo
Ukubwa wa kiwanja: Square meters 1863
Umiliki: Hati miliki kutoka Wizarani (Title Deed)
Muundo wa Nyumba:
✅️Vyumba vitatu vikubwa (vyote ni master bedrooms)
✅️ Sebule kubwa
✅️ Dining Room
✅️ Jiko kubwa
✅️ Choo cha familia
✅️ Air Condition (sebule & chumba kimoja)
✅️ Ipo ndani ya fensi
💳 Malipo ya awamu 2 yanakubalika
🛣️ Huduma zote za kijamii zipo jirani
0714733355 nipigie/WhatsApp















