Tafuta
-
-

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha (Kwa Mathias), Pwani (1863 sqm)

video thumbnail
Sh. 165,000,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

1863 SQM

Barabara ya Karibu

2.5km — Morogoro road

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Hati
airCondition
Uzio
Karibu na Shule
Karibu na Kanisa
Karibu na Msikiti

Maelezo

NYUMBA INAUZWA KIBAHA (Kwa Mathias) 2.5 kilometers kutoka Morogoro road.

165 millions mazungumzo yapo

Ukubwa wa kiwanja: Square meters 1863

Umiliki: Hati miliki kutoka Wizarani (Title Deed)

Muundo wa Nyumba:

✅️Vyumba vitatu vikubwa (vyote ni master bedrooms)
✅️ Sebule kubwa
✅️ Dining Room
✅️ Jiko kubwa
✅️ Choo cha familia
✅️ Air Condition (sebule & chumba kimoja)
✅️ Ipo ndani ya fensi

💳 Malipo ya awamu 2 yanakubalika

🛣️ Huduma zote za kijamii zipo jirani

0714733355 nipigie/WhatsApp