Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mfipa, Pwani (625 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
625 SQM
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Maelezo
OFFA !OFFAA!! OFAAA!!! OFFAAA.....USIKUBALI HII IKUPITE
KIBAHA KWA MFIPA MKOA PWANI
KM 2 KUTOKA MOROGORO ROAD
π‘ Nyumba inauzwa kwa bei nafuu mno!, Bei ya offa Tsh 25,000,000 Maongezi yapo fika site
INA VYUMBA VITATU KULALA SEBULE KUBWA JIKO
NA MASTA
BADO FINISHING NDANI BANDALING TAYARI
Mita 25x25 sawa Na square meter 500
π Location: Kibaha kwa Mfipa Mkoa wa Pwani
jirani na chuo cha Mwalimu Nyerere
β
Eneo zuri na salama.
β
Barabara nzuri, lami hadi chuo cha Mwalimu Nyerere,kipande kilichobaki vumbi.
β
Shule zipo Binafsi na za Serikali
β
Umeme upo jirani
β
Maji yanapatikana kwenye nyumba za jirani.
β
Huduma zote muhimu zinapatikana na eneo linafikika muda wote.
π SQM 300 (25Γ25)
Nyumba inauzwa Bei ya ofaa
wahitaji ni wengi!
Ukichelewa leo, unaweza kukosa nafasi hii.
π² Piga simu au tuma WhatsApp sasa:
Fanya uamuzi leo... Kesho unaweza kukuta bei imebadilika!
What saapp Number 0689-547258















