Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibamba, Dar Es Salaam (750 sqm)


Kibamba, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 98,000,000
Maelezo
JUMBA LA KISASA LA KUMALIZIA UJENZI, TZS.98 MILIONI, ĶIBAMBA.
Ni jirani na HOSPITALI ya MLOGANZILA.
Ni kubwa, ina nafasi na ni imejengwa kisasa.
Vyumba 3 vya kulala (Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 750.
___________________
ANGALIZO:
Malipk ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
__________________almx















