Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 220,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Maelezo

๐Ÿก Nyumba ya Kisasa Inauzwa โ€“ Kigamboni, Geza (Wilayani)

Bei: TSH 220,000,000
Hati: Hati ya Wizara
Status: Nyumba ya Kuhamia Mara Moja

โธป

๐Ÿ“ Mahali

Nyumba ipo Kigamboni โ€“ Geza (Wilayani), katika mtaa tulivu ulio na mpangilio mzuri, majirani wema, na iliyo karibu na huduma zote muhimu za kijamii.

โธป

๐Ÿ  Muundo wa Nyumba
โ€ข Vyumba 3 (kimoja Master Bedroom)
โ€ข Sebule kubwa
โ€ข Dining Room
โ€ข Public Toilet
โ€ข Jiko la kisasa lenye makabati
โ€ข Store

โธป

โœจ Huduma & Ustawi
โ€ข Full AC
โ€ข Garden nzuri
โ€ข Eneo la kupumzikia nje ukiwa nyumbani
โ€ข Electric Fence kwa ulinzi wa uhakika
โ€ข Nyumba mpya na tayari kuhamia

โธป

๐Ÿ”‘ Faida
โ€ข Ipo kwenye eneo zuri na lenye maendeleo
โ€ข Miundombinu bora
โ€ข Usalama wa kutosha
โ€ข Inafaa kwa familia au uwekezaji

โธป

0713661530_0783661530