Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 220,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Maelezo

NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI

<> location geza juu

<> nyumba ina vyumba vitatu vya kulala viwili ni master sebule dining na jiko mpya

✅nyumba iko fenced
✅nyumba ina parking
✅nyumba ina electric fenced
✅nyumba ina mazingira mazuri
✅nyumba iko jirani na barabara
✅nyumba mpya na ya kisasaa

<> ukubwa wa eneo ni sqm 600

<> nyumba Ina hati kamili ya wizara

<> bei yake ni tsh,, million 220 mazungumzo yapo

◾️mawasiliano / Piga simu
✅0628505896
✅0763954837