Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Darajani, Dar Es Salaam

Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI DARAJANI, DAR ES SALAAM 🏡
📍 Ipo Kigamboni Darajani kabisa kwenye mtaa wa kishua na mazingira mazuri sana ya kuishi.
✨ Sifa za nyumba:
🛏️ Vyumba 3 vya kulala
🛋️ Sebule kubwa
🍽️ Dining room
🍳 Jiko
⚡ Umeme tayari
🚿 Plumbing tayari
🪟 Madirisha na milango tayari pamoja na mavirili
🏠 Unamalizia kidogo tu na kuhamia moja kwa moja
💰 Bei: TZS Milioni 75
🤝 Mazungumzo yapo kidogo
💵 Service charge: TZS 30,000
📞 Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni nyumbainauzwa dar es salaam fyp















