Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Fundi Baskeli, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
NYUMBA INAUZWA โ KIGAMBONI FUNDI BASKELI ๐ก
Unatafuta nyumba nzuri ya kuhamia au kufanya uwekezaji? Hii ni fursa yako!
โ
Vyumba 3 vya kulala (Vyote Master)
โ
Sebule kubwa
โ
Dining
โ
Jiko la kisasa
โ
Nyumba imekamilika kwa takribani 85%
๐ Nyaraka: ya Serikali ya Mtaa
๐ Umbali:
โข Kilomita 1 kutoka Barabara Kuu ya Lami
โข Kilomita 12 kutoka Ferry
โข Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
โข Kilomita 6 kutoka Mbagala Kuu (External)
๐ณ Mazingira mazuri na tulivu
๐ Nyumba imenyooka na ipo katika eneo linaloendelea kukua kwa kasi
๐ฐ Bei: TSh Milioni 140
๐ Maongezi kidogo yapo kwa mnunuzi makini.
๐0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateforsale #trendingnow #tanzania๐น๐ฟ















