Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA MPYA INAUZWA – KIGAMBONI KISIWANI
Unatafuta nyumba nzuri, ya kisasa na yenye mazingira tulivu? Hii hapa fursa yako!
✨ Sifa za Nyumba:
🔹 Vyumba 3 (Vyumba 2 Master)
🔹 Sebule na Jiko la kisasa
🔹 Full AC (Air Condition)
🔹 Hita (Hot water system)
📐 Ukubwa wa Eneo: SQM 600
📍 Umbali: Mita 500 kutoka barabara ya lami
🌿 Ipo katika mazingira mazuri, tulivu na salama – hakuna uswahilini
📄 Umiliki: Hati ya mauziano ya Serikali ya Mtaa
💰 Bei: Milioni 135 (Mazungumzo yapo)
📞 Wahi sasa kupata nyumba bora kwa maisha ya familia au uwekezaji!
#trendingvideos #tanzania🇹🇿 #istagram #realestateforsale #trendingaudio















