Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam (600 sqm)

video thumbnail
Sh. 135,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

600 SQM

Barabara ya Karibu

500m

Huduma na Sifa

Air Conditioning
Heater
Hati
Karibu na Barabara
Full A C
Modern kitchen

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA MPYA INAUZWA โ€“ KIGAMBONI KISIWANI

Unatafuta nyumba nzuri, ya kisasa na yenye mazingira tulivu? Hii hapa fursa yako!

โœจ Sifa za Nyumba:
๐Ÿ”น Vyumba 3 (Vyumba 2 Master)
๐Ÿ”น Sebule na Jiko la kisasa
๐Ÿ”น Full AC (Air Condition)
๐Ÿ”น Hita (Hot water system)

๐Ÿ“ Ukubwa wa Eneo: SQM 600
๐Ÿ“ Umbali: Mita 500 kutoka barabara ya lami

๐ŸŒฟ Ipo katika mazingira mazuri, tulivu na salama โ€“ hakuna uswahilini

๐Ÿ“„ Umiliki: Hati ya mauziano ya Serikali ya Mtaa

๐Ÿ’ฐ Bei: Milioni 135 (Mazungumzo yapo)

๐Ÿ“ž Wahi sasa kupata nyumba bora kwa maisha ya familia au uwekezaji!
#trendingvideos #tanzania๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ #istagram #realestateforsale #trendingaudio