Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam (700 sqm)
Maelezo
📍NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI KISIWANI ✅Seti Visit Tsh=30000/ 📌BEDROOM 3= MASTER 1 📌SQM 700= DOCUMENT SERIKALI YA MTAA 📌BEI💰105M=maongezi yapo kidogo Document aliekuwa nayo ni Leseni ya Makazi kwa yule Tajiri muwekezaji njoo uokote hizi nyumba uendelee kula kodi kazi nzuri sana hii na imenyooka sana karibu sana ndugu mteja kama kweli unaitaji uwekeze pesa zako hapa ndipo mahala pake ndani ya muda mfupi pesa zako zitakuwa zimerudi maana biashara yoyote utakayoiweka hapo inakubali NIPIGIE O688858854 AU















