Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Kisota, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA NZURI SANA INAUZWA – KIGAMBONI, KISOTA
Nyumba ya kisasa na yenye mazingira mazuri inapatikana kwa bei nafuu Kigamboni, eneo la Kisota.
✨ Sifa za Nyumba:
• Vyumba 3 (vyumba 2 master)
• Sebule kubwa na jiko la kisasa
• Eneo la kiwanja: SQM 600
• Hati ya Wizara
• Kisima cha maji (hakuna shida ya maji)
• Umbali: Kilomita 1 kutoka barabara kuu
💰 Bei: Tsh Milioni 270 (maongezi yapo)
📞0769-554-221
#trendingvideos #tanzania #istagram #realestateforsale #trendingaudio















