Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π’π₯ GHOROFA 2 ZINAUZWA β KIGAMBONI KISOTA, DAR ES SALAAM π₯π’
Fursa adimu sana ya uwekezaji kwenye eneo la kishua kabisa Kigamboni Kisota! Nyumba hizi ziko kwenye kona plot na zinagusa barabara kubwa inayoelekea lami. Zinafaa kwa makazi ya kifahari au uwekezaji wa kupangisha. β¨
π Location: Kigamboni Kisota, Dar es Salaam
β
Kilomita 3 tu mpaka Daraja
β
Kilomita 4 mpaka Ferry
β
Zinagusa barabara kubwa
β
Mazingira mazuri sana na ya kishua
π Nyumba zote ni ghorofa za kisasa:
β
Vyumba 3 vya kulala
β
Sebule kubwa
β
Dining room
β
Jiko la kisasa
β
Parking kubwa
β
Fence na mazingira safi
β
Nyumba kali sana na zimejengwa kisasa
πΈ Uwekezaji wenye faida:
β
Kila nyumba inaweza kupangishwa zaidi ya Milioni 1.5 kwa mwezi
β
Zinafaa kwa familia za kisasa au rental investment
π₯ Nyumba zinauzwa zote kwa pamoja
Ukihitaji nyumba za kifahari kwa matumizi binafsi au uwekezaji, hii ni deal nzuri sana.
π° Bei: TZS Milioni 500 tu
π£ Mazungumzo kidogo yapo
π Service Charge: TZS 30,000 kwa site visit
π Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni ghorofazinauzwa realestateinvestment dar es salaam fyp viral















