Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kisota Oshiwani, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA KUHAMIA INAUZWA KIGAMBONI KISOTA OSHIWANI π‘
β
Nyumba imejengwa kisasa na imenyooka sana
β
Ina Hati Kamili ya Wizara
β
Vyumba 3 vya kulala
β
Vyumba 2 ni Master
β
Sebule kubwa
β
Dining pamoja na jiko
β
Eneo kubwa lenye nafasi ya kutosha
π Ukubwa wa eneo: SQM 600
Pia nyumba ina:
β
Servent conta
β
Jiko la nje
β
Public toilet ya nje
β
Master room ya nje
π Umbali:
βοΈ Kilometa 1 kutoka barabara kuu ya lami
βοΈ Kilometa 5 kutoka Ferry
βοΈ Kilometa 3.5 kutoka Raia Nyerere
π° Bei: Milioni 300 maongezi kidogo yapo
Karibu sana kwa viewing na maelezo zaidi.
π0769554221
#trendingvideo #istagram #tanzaniaπΉπΏ #realestateforsale #trendingnow















