Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Muongozo, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 249,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONIMUONGOZO 🏑

Fursa nzuri ya kumiliki nyumba ya kifahari katika eneo tulivu na linalokua kwa kasi!

✨ Sifa za Nyumba:

* Vyumba 3 vya kulala, vyote Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa
* Servant Quarter yenye vyumba 2, sebule na jiko
* Full AC
* Electric Fence
* Garden nzuri
* Full Paving

πŸ“ Ukubwa wa Eneo: SQM 1,200
πŸ“œ Hati ya Wizara (Title Deed)

πŸ“ Mahali:

* Mita 500 kutoka barabara kuu ya lami
* Kilomita 12 kutoka Ferry
* Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’° Bei: TZS Milioni 249 (Mazungumzo kidogo yapo.)

Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba bora yenye mazingira mazuri, usalama wa hali ya juu na miundombinu mizuri.

πŸ“ž 0769554221
πŸ“ServiceCharge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam