Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Muongozo, Dar Es Salaam (1200 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Maelezo
π‘ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β KIGAMBONIMUONGOZO π‘
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba ya kifahari katika eneo tulivu na linalokua kwa kasi!
β¨ Sifa za Nyumba:
* Vyumba 3 vya kulala, vyote Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa
* Servant Quarter yenye vyumba 2, sebule na jiko
* Full AC
* Electric Fence
* Garden nzuri
* Full Paving
π Ukubwa wa Eneo: SQM 1,200
π Hati ya Wizara (Title Deed)
π Mahali:
* Mita 500 kutoka barabara kuu ya lami
* Kilomita 12 kutoka Ferry
* Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TZS Milioni 249 (Mazungumzo kidogo yapo.)
Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba bora yenye mazingira mazuri, usalama wa hali ya juu na miundombinu mizuri.
π 0769554221
πServiceCharge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















