Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni (Mwongozo), Dar Es Salaam (400 sqm)
ID: 260904MBQL8Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
GHOROFA YA KISASA JIRANI NA BEACH,TZS.300 MILIONI,KIGAMBONI(MWONGOZO)
Hii nyumba ipo umbali wa mita 500 tu kutoka Beach.
Kiwanja SQM.400.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya wizara.
●BEI HIYO,- NI FIXED (HAINA MAONGEZI)
●MNUNUZI ALIPE MADALALI NA GHARAMA ZOTE HUSIKA ZITAKAZOJITOKEZA KWENYE TRANSFER.
N Ghorofa nzuri yenye Sakafu mbili.
Vyumba vya kulala 3 (Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Parking ipo yakutosha.
Eneo Salama,Tulivu na lililostaarabika.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
________________zw















