Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Tuangoma, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI TUANGOMA
Nyumba nzuri sana ya kisasa, imejengwa kwa ubora wa hali ya juu na inafaa kwa makazi ya familia kwa miaka mingi ijayo.
โ
Ina vyumba 3
โ
Vyumba 2 ni Master
โ
Sebule kubwa, Dining pamoja na Jikoni
โ
Nyumba ina nafasi kubwa ya kutosha
โ
Full paving compound
โ
Garden nzuri ya kisasa
โ
Electric Fence imezingatiwa vizuri kwa usalama
โ
Eneo limepimwa na lina Hati Kamili ya Wizara
๐ Ukubwa wa eneo: SQM 800
๐ Umbali:
โ๏ธ Meta 300 kutoka Barabara ya lami
โ๏ธ Kilometa 15 mpaka Ferry
โ๏ธ Kilometa 12 mpaka Gerezani/Kariakoo
โ๏ธ Kilometa 5 mpaka Mbagala njia panda ya Chamazi
๐ฐ Bei:
Milioni 135 maongezi kidogo kwa mnunuzi serious.
๐ Location: Kigamboni Tuangoma โ
Karibu sana kwa mwenye uhitaji wa nyumba nzuri yenye mazingira mazuri na usalama wa uhakika.
๐0769554221
#trendingvideo #istagram #tanzania๐น๐ฟ #realestateforsale #trendingaudio















