Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kihonda Manyuki, Morogoro (477 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 𝗡𝗬𝗨𝗠𝗕𝗔 𝗜𝗡𝗔𝗨𝗭𝗪𝗔 – 𝗞𝗜𝗛𝗢𝗡𝗗𝗔 𝗠𝗔𝗡𝗬𝗨𝗞𝗜,𝗠𝗢𝗥𝗢𝗚𝗢𝗥𝗢 🏡
Je, unatafuta nyumba bora kwa makazi ya familia au uwekezaji? Hii ni fursa usiyoipaswa kuikosa!
📍 𝗘𝗻𝗲𝗼: Kihonda Manyuki, Morogoro
📐 𝗨𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝘄𝗮 𝗲𝗻𝗲𝗼: SQM 477
📜 𝗡𝘆𝗮𝗿𝗮𝗸𝗮: Hati Miliki ya Wizara ya Ardhi (Title Deed)
𝗦𝗶𝗳𝗮 𝘇𝗮 𝗡𝘆𝘂𝗺𝗯𝗮: ✅ Vyumba 3 vya kulala, ambapo vyumba 2 ni 𝗦𝗲𝗹𝗳-𝗖𝗼𝗻𝘁𝗮𝗶𝗻𝗲𝗱 ✅ Sebule na sehemu ya kulia chakula ✅ Jiko ✅ Umeme na maji vinapatikana muda wote ✅ Mfumo wa 𝗖𝗖𝗧𝗩 𝗖𝗮𝗺𝗲𝗿𝗮𝘀 kwa usalama ✅ Ndani ya fensi ✅ Ina 𝗦𝗲𝗿𝘃𝗮𝗻𝘁 𝗤𝘂𝗼𝗿𝘁𝗲𝗿 uani ✅ Eneo tulivu lenye huduma muhimu za kijamii zinazofikika kwa urahisi
💰 𝗕𝗲𝗶: 𝗧𝗦𝗵 53,500,000 𝘁𝘂 (Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya kweli.)
📞 𝗞𝘄𝗮 𝗺𝗮𝘄𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗼 na 𝗸𝘂𝗽𝗮𝗻𝗴𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗲𝗺𝗯𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗻𝘆𝘂𝗺𝗯𝗮: 0678 517 158 / 0785 517 158
Ada ya kutembelea na kuonyeshwa nyumba ni TSh 30,000/=







