Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kiluvya Kwa Komba, Dar Es Salaam (700 sqm)


Kiluvya kwa Komba, Dar Es Salaam
54 minutes ago
Sh. 50,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
1.5km — Morogoro Road
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA KUMALIZIA KIDOGO TU,VYUMBA 3, TZS.50 MILIONI,KILUVYA KWA-KOMBA.
Ipo umbali wa wastani wa kilomita 1.5 kutoka Barabara ya Morogoro.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 700.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ina vyumba 3 (Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
WAHI BEI HII NI RAFIKI NA SABABU NI KUWA INAUZWA KWA DHARULA.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
_______________Ambx
