Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kiluvya Madukani, Pwani (1200 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MPYA, VYUMBA 3, TZS.95 MILLION, KILUVYA MADUKANI.
Hapa ni KWA OMARI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,200.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba ina:
Vyumba 3 ( Masta 1)
Sebule, Jiko,
Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Pia kuna nyumba ndogo yenye
Chumba kimoja na Choo chake ndani.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mpg















