Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kimara, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Maelezo

INAUZWA NA BANK,TSHS.40 MILIONI TU, WAHI-KIMARA MAVURUNZA.

Hapa ni umbali wa kilomita 1.5 tu kutoka KIMARA MWISHO/MWENDOKASI.

Nyumba iliyopo ni ya kisasa na ina vyunba vya kulala 2( Masta 1) Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani.
Vilevile kuna Msingi wa nyumba kubwa vyumba 3.

Ndani ya Fensi.

Kiwanja SQM.500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

_____________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_____________jj