Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam (890 sqm)

video thumbnail
Sh. 160,000,000

Maelezo

NYUMBA YENYE HATI, VYUMBA 3,TZS.160 MILIONI, KIMARA-KOROGWE.

Ni ya-pili kutoka Barabara ya Zege.
Hakuna changamoto yoyote kufika ilipo na
Mazingira ni mazuri.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 890.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

Vyumba 3 (Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Nyumba ina AC.
Haina Fensi.

AINA WA NYUMBA HII NA UWEKEZAJI WAKE
NI ADIMU KWA MSENEO HAYA.

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________alSx

Matangazo mengine Kimara, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kimara Mwisho, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 90,000,000

For Sale3 beds2 baths400 sqmhouse