Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam (890 sqm)

Maelezo
NYUMBA YENYE HATI, VYUMBA 3,TZS.160 MILIONI, KIMARA-KOROGWE.
Ni ya-pili kutoka Barabara ya Zege.
Hakuna changamoto yoyote kufika ilipo na
Mazingira ni mazuri.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 890.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ina AC.
Haina Fensi.
AINA WA NYUMBA HII NA UWEKEZAJI WAKE
NI ADIMU KWA MSENEO HAYA.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________alSx















