Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kimara Suka, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
media -7
media -8
Sh. 115,000,000

Huduma na Sifa

Maelezo

NYUMBA KUBWA YA KISASA YA FAMILIA INAYOJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENSI INAUZWA MILIONI 115 MAONGEZI YAPO

šŸ’„ NYUMBA HII IPO KIMARA SUKA UPANDE WA KUSHOTO KAMA UNAENDA MBEZI NA KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI KM 2.5 HADI KWENYE NYUMBA

NYUMBA HII INA SIFA ZIFUATAZO

#VYUMBA 3 VIKUBWA SANA VYA KULALA KIMOJAWAPO NI MASTER
#SEBULE KUBWA
#DINING
#JIKO KUBWA LA KISASA
#STORE
PARKING
MAJI DAWASA YANATOKA NDANI MASAA 24

BEI NI 115 MILIONI

DOCUMENT NI HATI SAFI YA MAUZIANO KUTOKA SERIKALI YA MTAA

KUPELEKWA SITE KUONA NYUMBA NI SHILINGI ELFU 30k

PIGA SIMU TWENDE SAITI


Dm

.

dalali mpole kibamba

dalali_mpole_kimara_kibamba

@dalali_mpole_kimara_kibamba

View Listings

Matangazo mengine Kimara, Dar Es Salaam

dalali mpole kibamba